rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Chadema iangalie upya usalama wa viongozi wao kwa makini,ni dhairi ccm wana nia ya kuimaliza Chadema kwani wameshaona ni hatari kwao
nashauri uongozi mzima wa Chadema ukae chini ikiwezekana watumie makampuni ya nje kwa ajili ya ulinzi,nashindwa kuamini kama tutafika 2015 salama
ccm wapo tayari kumwaga damu ya mtu yeyote bila kujali ni nani ili mradi waendelee kutawala
naomba kuelewa kama kuna umuhimu wa kuanzisha kikosi cha siri cha kulipiza kisasi kwenye matukio kama haya kwa sababu tukiendelea kunyamaza tutaisha wote kabla ya 2015
nashauri uongozi mzima wa Chadema ukae chini ikiwezekana watumie makampuni ya nje kwa ajili ya ulinzi,nashindwa kuamini kama tutafika 2015 salama
ccm wapo tayari kumwaga damu ya mtu yeyote bila kujali ni nani ili mradi waendelee kutawala
naomba kuelewa kama kuna umuhimu wa kuanzisha kikosi cha siri cha kulipiza kisasi kwenye matukio kama haya kwa sababu tukiendelea kunyamaza tutaisha wote kabla ya 2015