Picha hizo ni nzuri sana. Hatuhitaki kuona kama sura za wahusika zina vipele au ziko soft, zaidi picha ni ushahidi wa kuaminika zaidi kuliko maneno matupu.
M4C FOREVER.
siunajua ndo maisha bora kwa kila mtanzania na ndo mana hata cm zetu ni zakuungaunga ukizingatia mimi ni mtoto wa kike siwezi kubeba tofari au zege si nitakufa? ila siyo mbaya tutafika tu mungu yupo
icha hizo ni nzuri sana. Hatuhitaki kuona kama sura za wahusika zina vipele au ziko soft, zaidi picha ni ushahidi wa kuaminika zaidi kuliko maneno matupu.
M4C FOREVER.
sawa mkuu nashukuru kwa ushirikiano wenu naona leo wako vijijini kwa wale ambao wagumu kuelewa sasa leo wataenda kuelewa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.