Baadhi ya viongozi wa CCM na CUF wilaya ya Magu Mkoani Mwanza wamejiuzulu nyazifa zao na kujiunga na CHADEMA kwa madai kuwa wamelenga kuwatumikia wananchi kikamilifu.
Source: ITV​
Wako wengi tu wameshachoshwa na hicho chama cha kizamani ila muda ukifika tutawapokea wengi tu since ni watanganyika wenzetu. Wako wengine walioko serikalini ila wanalinda mshahara tu. All in all time will tell.