Elections 2010 Viongozi wa BAVICHA kujulikana Aprili

Ndugu Nuclear1

Baada ya kukusoma nimegundua nia yako hasa si kuishauri CDM kuhusu viongozi wa BAVICHA ila ni kutimiza lengo lako la bifu na Ben Saanane wengine ni uliowataja ni geresha tu. Halafu una elements za udini na ukanda tusimchague huyu kwa sababu anatoka kanda fulani au ni dini fulani. Sisi vijana tunachohitaji ni uwezo wa mtu kuongoza si dini yake wala kabila lake FSP.

Hiyo ndiyo hoja ambayo mtu mwenye Degree moja,karne hii ya 21 anaibuka nayo.Ni aibu kubwa sana.Ndiyo hoja za Chama chake kile
 
Jamani demokrasia ya kusema ipo,ila kuna vitu vingi amesema ila oungo wake umeonekana sana kwa baadhi ya wagombea,hajatuambia kwa nn mchange hafai,pia amesema Greyson ndo anajaribu kujitokeza kwenye siasa na hajui kokote isipokuwa kanda ya ziwa,pia ameonyesha udhaifu wa kufikiri kuhusu silinde,sijui kama mtu makini angesema habari za kuwona silinde akianaza kung'aa kama zitto alivyong'aa enzi zile,kwa kipindi cha miezi 3 tu jamani jamaa huyu ni mvivu wa kufikiri...anakuwa kama maandamano ya chadema yanayoitishwa na kuwaacha watu with no way forward, kuhusu greyson unasema umemfuatilia...ongea kuhusu yeye na chama pia amezaliwa na kusomea na kuishi mikoa gani na gani...na amefanya project ngapi za jamii wapi...nasema hivyo nikiwa mwanachama wa chadema ninayemfahamu greyson ila siko ktk ushabiki wenu mpe mtu haki yake namjua ameishi hadi kusini ww waja na ushawishi huo je uburuzwaaji wake umeuona wapi..poa ila naomba pia unifafanulie kuhusu mchange,na useme nani anafaa sasa..kuhusu heche mbona sifa zake nyiingi umeacha umemkamua saanane tu kisa mlisoma nae.
 
Back
Top Bottom