Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Tatizo lako hauwezi kutofautisha JamiiForumn na Website ya Chadema na CCM. Hapa wapo wanachama na wasiowanachama wa vyama vya siasa (CCM, CDM, CUF, TLP etc). Pia kumbuka kuna wanachama wapenda maendeleo na wapenda ufisadi ndani ya hivi vyama. Kama unafikiri kuwa unawaeleza BAVICHA hapa, umepotea njia zaidi ya kubroadcast tuu. Tunataka issue zinazogusa taifa. Lakini sikushangai kwani watu kama nyie mupo na ndo maana nilitoaa hii thread kwa ajili ya wana JF wote.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/120524-hii-lazima-kila-mmoja-asome.html
Mbona UVCCM inachambuliwa hapa?mbona Zitto vs mbowe zinachambuliwa?mbona Slaa vs Makamba zinachambuliwa?
Mimi nachukia hii tabia ya watu kama akina Slaa kuwa traped na ishu za infidelity,kama ilivyokuwa kwa akina Bill Clinton
Haka kajama kutembea na Prof. wake ilikuwa ni kuvuka mpaka hata kama alikuwa demu wa kawaida.Na taarifa tulizo nazo huyu Mwisrael alikuja Tanzania hata baada ya huyu jamaa kutua tu,huyo ndiye alimfundisha kiebrania
Wewe mkuu unaonekana nikimjadili hilo linakukera sana.Kwanza siasa za ubabe hazina nafasi,umafia hauna nafasi.Kuna siku alikuwa analalamika CCM kuingiza mamluki upinzani,yeye mwenye na mission hiyo hiyo kupandikiza mamluki UVCCM ili aiongoze bavicha kimafia.Nitakutafutia hiyothread,hatutaki siasa za kupandikiziana mamluki,nadi sera na ujenge chama basi.Umafia hatutaki,una implications zake