Ninaomba tujadili wana JF. Kwa nini viongozi wa Afrika hawana utamaduni wa kuwajibika kwa kujiuzuru kama ilivyo kwa viongozi wa mabara mengine tena bila kushinikizwa ? Nawasilisha.
Nchi nyingi za africa bado zinatumia katiba zilizoachwa na mkoloni ambazo hazikidhi mahitaji ya watu wengi, ni rahisi mno kuzichakachua kwa sababu ya uchanga wa nchi zenyewe!! Kwa hiyo katika vuguvugu linalopita saizi, lazima watawala watalazimika kuzibadili ili kuendana na mahitaji ya watu, hivyo basi huu utamaduni wa viongozi kutowajibika utaisha tu pale katiba itakapokuwa na meno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.