Baba Ubaya
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 127
- 19
Nimekua nikijiuliza kwa nini viongozi wa Africa si wepesi wa kuachia madaraka hata pale inapoonekana mambo hayendi vizuri kwenye suala zima la kukuza uchumi achailia mabali kutimiza ahadi walizoaidi kipindi cha uchaguzi.Nimekua nikifatilia kinachoendelea Italy na Ugiriki wako makini na masuala ya uchumi wa inchi zao hadi kupelekea viongozi wa juu kabisa kuwajibika.
Kwa nini kwetu africa na tanzania ikiwemo hatuna utamaduni huu jamani tuna matatizo gani sisi?
Kwa nini kwetu africa na tanzania ikiwemo hatuna utamaduni huu jamani tuna matatizo gani sisi?