Viongozi Tanzania tuache dhulma.

almasi Jamila

New Member
Sep 4, 2012
1
2
Sherehe za miaka 50 ya uhuru Tanzania inasemekana iligharimu pesa nyingi sana lakini cha ajabu ni kwamba Madaktari na wauguzi waliokuwa wakitoa huduma kiwanjani hawajalipwa hadi leo posho zao,wakiuliza wanaambiwa kundi lenu lilikuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu wakienda kuuliza wanaambiwa zipo wizara ya Afya,wakienda wizarani wanaambiwa pesa zenu zipo ofise ya Rais ila subirini Hazina watatoa,kwa nini viongozi wetu mlaleta siasa kwenye ujuzi wa watu?woote walipwe ila watu wa afya wasilipwe?mnamaana gani?au mnataka nini kwa madaktari na wauguzi?Tafadhali wahusika walipeni watu hawa acheni siasa
 
Very sad! 9/12/2011 mpaka sasa bado mwamara haujasoma? Pole sana madakatari na wauguzi. Kamati ya Nchimbi nayo itacheleweshewa malipo kama hawa wenzetu au ni cash in hand investigation will follow?
 
Du inaonekana una hasira nao vibaya mpaka imepekelekea kujiunga na JF faster,ndo kamtindo kao hako,waulize makarani wa sensa watakupa experience zaidi!
Sherehe za miaka 50 ya uhuru Tanzania inasemekana iligharimu pesa nyingi sana lakini cha ajabu ni kwamba Madaktari na wauguzi waliokuwa wakitoa huduma kiwanjani hawajalipwa hadi leo posho zao,wakiuliza wanaambiwa kundi lenu lilikuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu wakienda kuuliza wanaambiwa zipo wizara ya Afya,wakienda wizarani wanaambiwa pesa zenu zipo ofise ya Rais ila subirini Hazina watatoa,kwa nini viongozi wetu mlaleta siasa kwenye ujuzi wa watu?woote walipwe ila watu wa afya wasilipwe?mnamaana gani?au mnataka nini kwa madaktari na wauguzi?Tafadhali wahusika walipeni watu hawa acheni siasa
 
Back
Top Bottom