Viongozi na Ustaarabu wa kusakata Rumba

mluga

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
676
215
Hebu tulinganishe hapa, nini kinajiri
 

Attachments

  • kagame.jpg
    kagame.jpg
    27.8 KB · Views: 198
Hiyo ya Kapuya mbona ni kama disco vumbi jamaa wamevaa kandambili (malapa) ni wapi hiyo?
 
mmmh i wish ningemuona sura huyo mama/madada anayecheza na kagame... she seems to be sooooo hoooot.....mmh rwandese wanaonekana wakali kinoma... i think its worth going there for sightseeing in one of these dayz
 
Mawazo yake hayapo kwenye disco kabisa, inaonekana anawaza maslahi ya nchi yake tuu

attachment.php
 
attachment.php


Kapuya bila shaka anachakachua tiGo namwona anasilikilizia!
Alahaula walakwata! Mgaya wa TUCTA akiiona hii atajuta kwa nini alikuwa anapoteza nguvu kubwa kulumbana na mzee Akudo. Mzee ni wa kujirusha kwa sana sio kukaa na kutafakari kwa kina maswali magumu
 
Alahaula walakwata! Mgaya wa TUCTA akiiona hii atajuta kwa nini alikuwa anapoteza nguvu kubwa kulumbana na mzee Akudo. Mzee ni wa kujirusha kwa sana sio kukaa na kutafakari kwa kina maswali magumu

Huyu jamaa ndio alikuwa Waziri wa Elimu Kweli. Ndio Maana Elimu ilishuka huwezi kuongozwa na Mtu mwenye hulka/tabia za aina hii. Nido maana watoto wa shule enzi hizo walitwa Kapuya!!!!.
 
Hiyo ya Kapuya mbona ni kama disco vumbi jamaa wamevaa kandambili (malapa) ni wapi hiyo?

Yeye mwenyewe ana 'kubazi'! Naona wengi walikuwa wanacheza hivyo labda alikuwa naye anafanya vile wafanyavyo waroma.
 
Back
Top Bottom