koplo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 574
- 152
kubali au kataa huo ndio ukweli 90% ya viongozi wa serikali ya ccm wametokea UDSM watendaji wakubwa wa wizara na taasisi mbali mbali wametokea UDSM , Hii inaonesha kwa jinsg gani chuo hiki kimeshindwa kuandaa watawa na wataalamu wenye uzalendo na taifa hili , zaidi ya kujilimbikizia mali na kuendekeza undugu katika ajira. Wachache wanajifanya kuwa wanauzalendo na nchi ila hayo wamekuja baada ya kukosa nafasi ndani ya Serikali ila endapo wangepata basi wangekuwa kama wenzao.elimu inayotolewa na UDSM imeshindwa kuendeleza taifa hili kufikia kujikwamua katika hali duni ya maisha kwa watanzania. wakandalasi wanao dondosha magholofa wametokea UDSM,Madaktari,wanasheria wabovu wote chanzo ni UDSM
Wabaya walio andaliwa na UDSM ni wachache kuliko wazuri thats why nchi imeshindwa kuendelea
Wabaya walio andaliwa na UDSM ni wachache kuliko wazuri thats why nchi imeshindwa kuendelea