TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,885
- 11,275
sheikh, correction... ngono kwenda mbele!!!Mapenzi kwenda mbele¬!
sheikh, correction... ngono kwenda mbele!!!Mapenzi kwenda mbele¬!
kweli hii imekaa sawa, aingie humu aone vichwa vinavyofanya kazi za uhakikasheikh, correction... ngono kwenda mbele!!!
- Unfair: huwezi kuwa Makerere University ukawa hujui English wale sio kama sisi wababaishaji!
Willie @ NYC, USA.
Mapenzi kwenda mbele¬!
teh tehMbona huyu hamna tofauti nae? we nae kingereza si kile cha zee zee!
Facebook bwana akili zao mbovu kweli lakini kwaa hili wacha wamweleze . HIvi Mzindakaya huwa haji hapa JF ? Si ajaribu kutia mguu ? Hapa ndiyo wako watu wenye majibu Facebook wengi vijana .
Kabila la mtu linachangia kwenye mawazo yake, be informed.
Kaka naona huijui Makerere hata kidogo, labda unaongelea Makerere ya Historia pole sana kwa taarifa yako watu wanaokwenda kusoma Uganda siku hizi ni form na six failure wa Tanzania nawafahamu zaidi ya mia moja!
Nawajuwa waliopo hiyo Makerere yako ambao hata hawajui kiingereza cha kuombea kazi tena wapo wengi sana hapa Tanzania wanakuja maofini kuomba kazi vichekesho sana.
...mwana! baharia na shule wapi na wapi ndugu yangu???
@ bihawana
- Mkuu Baharia ni jina la kazi, sio elimu maana ndani ya meli kuna watu wana elimu sana meli haiwezi kuelea majini bila elimu, ni common sense japo kidogo sio lazima kuwa na PhD kuelewa hilo!
- Sio kila anayefanya kazi Ikulu ni rais, kuna wafagajiaji pia!, sio kila baharia ni deck boy hapana inawezekana umezoea kukutana na hao mabahari a wa namna hiyo!
Es!
- Yaaani tumegeuka wale waliodai Barnabas aachiwe, hukumu kwa wananchi wengine bila hata makosa sasa jamani huyu dada amekosa nini hasa cha kumfungulia mthread wote huu kosa lake ni nini hasa? Mana na mimi nataka kushiriki kwenye hukumu lakini nakosa what is the charge?
Es!
- Unfair: huwezi kuwa Makerere University ukawa hujui English wale sio kama sisi wababaishaji!
Willie @ NYC, USA.
nisamehe mkuu... kumbe wewe ndio william@newyork
basi nimekosa, sikuwa na maana nyingine, mie nikajua wewe ni full baharia yaani mchapa kasia
sirudii tena kamanda william aka field marshall
hebu mwambie mod basi adelete hii post maana umechanganya madesa
Mkuu makerere hawachukui devision za kuunga unga.....huyu yupo chuo kimoja hapo Uganda kinaitwa Kampala...ADA YAKO TU!
malecela unamtetea sana MZINDAKAYA......wote nyie ni watoto wa wazeee waleee walioitafuna na wanaoendelea kuitafuna tanzania hiii- Mnamuonea sana huyu dada vipi mkuu kuna something we dont know nini maana huyu dada hawezi kukosa kurushiwa maneno ya kashfa kila wiki mbili au tatu hivi amewakosea nini hasa? I mean kwani ameingia kwenye mashindano ya taifa ya elimu bila qualifications au?Willie @ NYC, USA.
- Mkuu mimi ni William Malecela na picha yangu ile pale juu, ninaishi New york City, huwa situmii majina bandia! ha! ha kwa hiyo hapo umekosa mkuu na namba yangu ya simu hii hapa + 1-914-473-1033 sina uoga uoga kwenye damu yangu never!
Willie @ NYC, USA.