Mpiganaji tz
Member
- Jul 22, 2010
- 21
- 0
Namchukia ana makinda toka moyoni. Alikuwa na chuki mbaya dhidi ya hayati chacha wangwe, hivyo simfagilii hata kidogo. Alikuwa anamchukia wangwe kwa kiwango cha kutisha na alikuwa hampi mwanya aongee au aulize ama kufafanua jambo.i still hate this fuckin mom