Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
katika pirika pirika ya serekali ya kenya kufanya msako wa mashoga kuwakamata na kuwashitaki shoga mmoja alitiwa mbaroni na buruzwa mahakamani na kusimamishwa kizimbani ikawa hivi
hakimu= unashtakiwa kwa kosa la kufanya ushoga jitetee
shoga= samahani bwana hakimu mimi nilikuwa sijui kama makalio ni mali ya serekali
hakimu= unashtakiwa kwa kosa la kufanya ushoga jitetee
shoga= samahani bwana hakimu mimi nilikuwa sijui kama makalio ni mali ya serekali