Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ok, heshima mbele wadau jamvini.
I feel compelled kuianzisha hii thread, pengine somewhere down the road wanajamvi tunaweza kuokota mawili matatu kuzilinda afya zetu kutokana na matumizi ya kilevi / kileo / vinywaji vigumu. Na ni wasaa wa wenye input kutujuza zaidi wanajamvi.
EFFECT YA MI-BIA KWENYE MENO/MIFUPA
Kwa sehemu niliyokuwepo ktk miaka miwili mitatu ilopita, gharama ya chupa ya maji na bia zilikuwa zikilingana, sasa unajua tena wabongo, kumaximize theory ya raha jipe mwenyewe nikawa nanunua zaidi bia kuliko maji na matokeo yake nilianza kuyaona baada ya kuona athari kwenye meno. Hii ikanikumbusha ndugu mmoja ambaye ni mnywaji sana na amepoteza meno kadhaa baada ya kutoboka na kumpa usumbufu, na kupelekea kuamua kuyang'oa baada ya jitihada za kuyaziba kuwa imefikia ukomo.
Nway, kwa uchunguzi wangu usio wa kitaalamu ni kuwa meno na mifupa yetu inajengwa kwa kiasi kikubwa na calcium, na ni imani yangu kuwa kwenye mibia hii kuna kemikali zinazopambana na calcium na kutengeza compund nyingine ambazo ni weak, na hivyo kusababisha meno kuwa easily eroded au abrased au mifupa kuwa dhaifu. Kwa hivi sasa binafsi kuna meno yamekuwa abrased kiasi kwamba nikipiga mswaki nasikia maumivu. (wenye utaalamu wasaidie hapa).
MADHARA YA WINE??
Baada ya kubaini madhara ya bia kwa meno yangu, ambayo nimeyashuhudia mwenyewe binafsi, nikaamua kuhamia kula wine, both white and red wine. Sasa majuzi hapa nimevuta wine flani hivi inaitwa Santa Ana kutoka Argentine imenifanya nijiulize maswali mazito. Baada ya kumaliza glass na nusu, nikachill kidogo. Wakati nakamua nikahisi kama kuna erosion kwenye ulimi, na kwa mbali nakawa nasikia ka-harufu flani hivi kama damu puani. Nilipoamua kwenda kuswaki ndo nikaona ulimi umebadilika rangi na mate nayo yamekuwa meusi..duh ikabidi nikimbilie maziwa kuikata hii sumu. Nashindwa kuelewa hii wine ni wine ya aina gani, au ni conco sulfuric acid?
I feel compelled kuianzisha hii thread, pengine somewhere down the road wanajamvi tunaweza kuokota mawili matatu kuzilinda afya zetu kutokana na matumizi ya kilevi / kileo / vinywaji vigumu. Na ni wasaa wa wenye input kutujuza zaidi wanajamvi.
EFFECT YA MI-BIA KWENYE MENO/MIFUPA
Kwa sehemu niliyokuwepo ktk miaka miwili mitatu ilopita, gharama ya chupa ya maji na bia zilikuwa zikilingana, sasa unajua tena wabongo, kumaximize theory ya raha jipe mwenyewe nikawa nanunua zaidi bia kuliko maji na matokeo yake nilianza kuyaona baada ya kuona athari kwenye meno. Hii ikanikumbusha ndugu mmoja ambaye ni mnywaji sana na amepoteza meno kadhaa baada ya kutoboka na kumpa usumbufu, na kupelekea kuamua kuyang'oa baada ya jitihada za kuyaziba kuwa imefikia ukomo.
Nway, kwa uchunguzi wangu usio wa kitaalamu ni kuwa meno na mifupa yetu inajengwa kwa kiasi kikubwa na calcium, na ni imani yangu kuwa kwenye mibia hii kuna kemikali zinazopambana na calcium na kutengeza compund nyingine ambazo ni weak, na hivyo kusababisha meno kuwa easily eroded au abrased au mifupa kuwa dhaifu. Kwa hivi sasa binafsi kuna meno yamekuwa abrased kiasi kwamba nikipiga mswaki nasikia maumivu. (wenye utaalamu wasaidie hapa).
MADHARA YA WINE??
Baada ya kubaini madhara ya bia kwa meno yangu, ambayo nimeyashuhudia mwenyewe binafsi, nikaamua kuhamia kula wine, both white and red wine. Sasa majuzi hapa nimevuta wine flani hivi inaitwa Santa Ana kutoka Argentine imenifanya nijiulize maswali mazito. Baada ya kumaliza glass na nusu, nikachill kidogo. Wakati nakamua nikahisi kama kuna erosion kwenye ulimi, na kwa mbali nakawa nasikia ka-harufu flani hivi kama damu puani. Nilipoamua kwenda kuswaki ndo nikaona ulimi umebadilika rangi na mate nayo yamekuwa meusi..duh ikabidi nikimbilie maziwa kuikata hii sumu. Nashindwa kuelewa hii wine ni wine ya aina gani, au ni conco sulfuric acid?