Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
Mkuu umesaha kwamba huyu ni miongoni wa wale walao mkate na damu ya yesu.Sasa yesu kafa karne ya kale sana,hiyo damu yake eti mpaka leo bado ipo tuu lol.
mkuu umeniacha hoi na point yako, kumbe mvinyo ni damu ya yesu? Wakati huohuo huyo yesu ni mungu, sasa wanamlaje mungu?