wana jf mambo vp hawa jamaa wana suport kubwa sana lkn wenyewe awajitambui koz wameweka contact zao kny newspaper then mara awapatikan hata wakipatikana hawa pokei tatizo awajui public relation ndo utii wa mgongo wa sanaa!! na ctak kukubali koz nawajua kuna jamaa pale wana ulewa mkubwa km mdogo wangu adil mkwera so washkaj jamaa wana suport then wanataka t shirt za show at any cost logistics zkoje?