Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Mh.Fuli amekomaa na isue ya TBS, na ameenda mbali na kutamka bila kupindisha maneno kuwa mawaziri ni wezi, Mh Lukuvi akaomba mwongozo wa spika eti mawaziri si wezi, mh akakomaa kuwa ana ushahidi wa huo wizi ghafla spika akaahirisha kikao mpaka jioni hii.
Inasemekana CCM walikuwa na kikao cha dharura mchana huu. Mh. yale magoti uliyopiga kuomba kura hiyo ndo kazi tuliyokutuma. Usimuogope mtu waTz kibao tuko nyuma yako na kama ni chama basi utamconsult Milya akuonyeshe njia. utamu huu!
Inasemekana CCM walikuwa na kikao cha dharura mchana huu. Mh. yale magoti uliyopiga kuomba kura hiyo ndo kazi tuliyokutuma. Usimuogope mtu waTz kibao tuko nyuma yako na kama ni chama basi utamconsult Milya akuonyeshe njia. utamu huu!