Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Ndugu wanaJF
Vipo viwanja sabini vyenye ukubwa wa sqm 700, 900, 1200 eneo liitwalo Kwembe. Ni 3km kamili kutoka morogoro road upande wa kushoto kama unatokea DSM. Viwanja vimegawanywa na mmiliki wa eneo kwa kuweka barabara za kutosha, havina hati ya wizara ila ni halali kwa makazi. Bei ni kuanzia shs 4m. Ukipenda na uwezo unaruhusu unaweza kuviunganisha hata vinne sehemu moja.
NOTE; mimi sio muuzaji wala dalali ila ni mkazi wa jirani na eneo hilo hivyo nimeamua kuwashirikisha ili kuwasaidia wanaohitaji.
Asante
Vipo viwanja sabini vyenye ukubwa wa sqm 700, 900, 1200 eneo liitwalo Kwembe. Ni 3km kamili kutoka morogoro road upande wa kushoto kama unatokea DSM. Viwanja vimegawanywa na mmiliki wa eneo kwa kuweka barabara za kutosha, havina hati ya wizara ila ni halali kwa makazi. Bei ni kuanzia shs 4m. Ukipenda na uwezo unaruhusu unaweza kuviunganisha hata vinne sehemu moja.
NOTE; mimi sio muuzaji wala dalali ila ni mkazi wa jirani na eneo hilo hivyo nimeamua kuwashirikisha ili kuwasaidia wanaohitaji.
Asante