Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
kwa miaka 10 iliyopita striker yeyote aliyehamia AC milan alitakiwa awe shupavu na mwenye kufunga kweli magoli ili uweze kuwashawishi B&G...ndo maana kina Ricardo Oliveira walipita pale, kina Gilamarnia ama Gilardino, kina Crespo, Javi Moreno, nk nk nk ambao walipita na kuwaacha Pippo na Sheva wakiendelea kutukuzwa kwa ajili tu ya uviziaji...
Forza Milan
Forza Milan