@nitonye & Erickb52, endeleeni kumwaga siri zenu, mie niko hapa nawasikiliza!...
nitonye kuwa mwangalifu na Erick manake sio mtu mzuri, anapenda kutuchonganisha.
Ni aghalabu kuwakosa hawa jf, nitonye, sweetlady, bagah, nyani ngabu, ashadii, firstlady, boflo, cantalisia, bishanga, walinazi(huyu kaja juzi juzi tu hapa jf lakini yumo), youngmaster, na........,
Erick hanisumbui mimi ngoja aipate kwanza kwa Amyner
@nitonye & Erickb52, endeleeni kumwaga siri zenu, mie niko hapa nawasikiliza!...
nitonye kuwa mwangalifu na Erick manake sio mtu mzuri, anapenda kutuchonganisha.
Erick hanisumbui mimi ngoja aipate kwanza kwa Amyner
Weee, nibanduke Jux amnyakue?Naomba limbwata lako la 200
maana inaonekana linafanya kazi sana
SL habanduki chit chat wakali alikuwa alwatan wa jf doktaz
Sio wewe peke yako BAGAH,... Inv yenyewe aliniPM kunambia hivyo hivyo...tu mfano wa kuigwa kwakweli...asee mnamuonea braza!...nitty na SL nimependa mapenz yenu!
mambo vip shem!
Teh kumbe upoooooo!!!!@nitonye & Erickb52, endeleeni kumwaga siri zenu, mie niko hapa nawasikiliza!...
nitonye kuwa mwangalifu na Erick manake sio mtu mzuri, anapenda kutuchonganisha.
Bagah tunakutanaga kwenye mishemishe
Hivi umemuona hivi punde? Jiulize mbona tulipotea wote?Erick hanisumbui mimi ngoja aipate kwanza kwa Amyner
Poa shem! U khali gani?
Bagah tunakutanaga kwenye Banana
Hahahahaaa la mkosaji hili....Naomba Bagah umuheshimu shemeji yako...unajua unahangaika sana ngoja nikupatie mdogo wake Amy ufurahikaka mkuu ricky atakosa vyote mana hata shem AMYNER ananionesha dhahiri ananipenda...!
Sio wewe peke yako BAGAH,... Inv yenyewe aliniPM kunambia hivyo hivyo...tu mfano wa kuigwa kwakweli...
Tuna mapenzi ya zwati!
hahahaaaaaa dogo utaumiaaaaaaa chunga kauli zakosafi...naona umeshikilia haswa nitonye hafurukuti...naomba nikunong'oneze shem..."namtaka amyner nahisi anakosa haki zake za msingi toka kwa kaka mkuu ricky"
Mzima Amyner,
leo sijamuona Erick kabisa is he ok?
Ahaaaa kumbe sisi wengine hatujulikani! cjui nisema ni ukabila! au uchama! au u jf? endeleeni kujiweka matawi ya juu pekeyenu tu. imeniuma uchungu leo, siku imeisha vibaya
hahahaaaaaa dogo utaumiaaaaaaa chunga kauli zako
Hahahahaaaaa kijana punguza wivu.....Si ukabila wala uJF Ta Kamugisha! ndio maana sikuifunga hiyo list nikaweka hizo dot dot kuonesha nawe umo pia! na hata mwinginewe hata wewe kama kuna unaemjua muweke tu usijali mkuu...LoL!