Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Katika hali ambayo watu hawakutarajia, Ijumaa watumishi wa hospital Peramiho walitangaziwa kuwa tar 5 waziri wa wanawake jinsia na watoto angetembelea hospital na angependa kuona ward za watoto na maternity.
Bahati mbaya au nzuri waziri alizidiwa na sherehe mjini Songea akashindwa kufika lakini alituma wawakilishi kwa niaba yake.
Katika hali isiyotarajiwa waziri huyu alitoa za juice, biscuits na sabuni. Kila mgonjwa alipewa item tatu, sabuni ilikuwa ni nusu mche.
Mategemeo ya wengi angetoa machine za oxygen ambazo ndo tatizo kuu hapa, unfortunately waziri akatoa zawadi hizi.
Pamoja kuwa zawadi ni zawadi lakini kama waziri anatakiwa kutatua matatizo ya kudumu kuliko kutoa zawadi ambazo zinaisha baada ya sekunde na hawatamkumbuka.
Wanafanya mambo mengi sana yasiyoya msingi na wanatumia fedha nyingi sana za walipa kodi, afu ikifika wakati wa kusaidia walala hoi wanasaidia kwa kuwapa juice. CCM you have lost credibility to lead this country,
poleni sana Watanzania
Source: nilienda kutibiwa pale na kupata taarifa hii.
Bahati mbaya au nzuri waziri alizidiwa na sherehe mjini Songea akashindwa kufika lakini alituma wawakilishi kwa niaba yake.
Katika hali isiyotarajiwa waziri huyu alitoa za juice, biscuits na sabuni. Kila mgonjwa alipewa item tatu, sabuni ilikuwa ni nusu mche.
Mategemeo ya wengi angetoa machine za oxygen ambazo ndo tatizo kuu hapa, unfortunately waziri akatoa zawadi hizi.
Pamoja kuwa zawadi ni zawadi lakini kama waziri anatakiwa kutatua matatizo ya kudumu kuliko kutoa zawadi ambazo zinaisha baada ya sekunde na hawatamkumbuka.
Wanafanya mambo mengi sana yasiyoya msingi na wanatumia fedha nyingi sana za walipa kodi, afu ikifika wakati wa kusaidia walala hoi wanasaidia kwa kuwapa juice. CCM you have lost credibility to lead this country,
poleni sana Watanzania
Source: nilienda kutibiwa pale na kupata taarifa hii.