superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
amewatolea uvivu wabunge Wanawake huku akiwaasifu wanaume kwa kufuata kanuni ya mavazi na kuwasisitizia wa kike wataendelea kurudishwa mlangoni
Eti hihi vidude vya miguuni vinaashiria nini??
MHESHMIWA VICKY KAMATA NA SHOSTIE
Wabunge wote wanawake waanze kuvaa namna hii katika vikao vyote vya Bunge.
Yaani mavazi haya hayaruhusiwi bungeni!!! Basi labda waanze kuvaa Burka na niqab. Na vikuku si ajabu vitapigwa marufuku bungeni!
He! Yamekuwa hayo tena...mwishoni watasema lazima mtu avae chupi ya aina fulani ndio ataruhusiwa, huyu mama ana wivu tu, si ana hela ? aende akafanye plastic surgery huko
Two Muslim women arrested in France just hours after the full-face veil ban comes into forceWabunge wote wanawake waanze kuvaa namna hii katika vikao vyote vya Bunge.
Wabunge wote wanawake waanze kuvaa namna hii katika vikao vyote vya Bunge.
mwishoni watasema lazima mtu avae chupi ya aina fulani ndio ataruhusiwa, huyu mama ana wivu tu, si ana hela ? Aende akafanye plastic surgery huko