Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi

"Sikujuwa kama huku nyuma itakuwa tamu kuliko mbele, nisamehe mpenzi kwa kukukatalia siku zote, ningejuwa utamu wake nisinge-kukataliiiiiiiii..... Aaaaaanhhhhhh haki ya mungu tamu"

Hayo maneno siyasahau mpaka leo, na sijui kama yanasahaulika. Ni miaka mingi sana imepita na ingawa kwa sasa huyo mwanamke kaolewa kivyake nami nimeoa kivyangu, lakini hayo maneno yake wakati wa kumla mgongo kwa mara ya kwanza (kwake na kwangu) sito ya sahau na mpaka leo nikiyakumbuka njomba huku huwa ana tweak.
 
"Sikujuwa kama huku nyuma itakuwa tamu kuliko mbele, nisamehe mpenzi kwa kukukatalia siku zote, ningejuwa utamu wake nisinge-kukataliiiiiiiii..... Aaaaaanhhhhhh haki ya mungu tamu"

Hayo maneno siyasahau mpaka leo, na sijui kama yanasahaulika. Ni miaka mingi sana imepita na ingawa kwa sasa huyo mwanamke kaolewa kivyake nami nimeoa kivyangu, lakini hayo maneno yake wakati wa kumla mgongo kwa mara ya kwanza (kwake na kwangu) sito ya sahau na mpaka leo nikiyakumbuka njomba huku huwa ana tweak.

shetani:rain:
 
Katika mapenzi mambo mengi ya kufurahisha na pengine kusikitisha hutokea. Si ajabu wengine hupigana na hata kufikishana polisi then mahakamani. Wana jukwaa, leo hii ningependa tuelezane jambo hili"ingawa inaweza ikawa ni mambo ya chumbani zaidi". Swali lenyewe ni hili! NI NENO GANI ULILOWAHI KUELEZWA NA MPENZI WAKO LIKAKUUMA SANA AMA LIKAKUFURAHISHA SANA NA HUTOWEZA KULISAHAU KAMWE. Karibuni!!!!!!!

Niligombana nae kuhusu wanamke mmoja hivi ambae nilimwona kama ni mkubwa sana kuliko mimi yeye yuko nae "yaani nilimfumania" wakati tuna argue ugomvi mkubwa nikamwambia limwanamke lenyewe kubwaaa hata huoni haya kuniacha mie mtoto kwenda kwa jimama unajua alijibuje?? "wala sio mkubwa ni umbo tu lile"
 
"Sikujuwa kama huku nyuma itakuwa tamu kuliko mbele, nisamehe mpenzi kwa kukukatalia siku zote, ningejuwa utamu wake nisinge-kukataliiiiiiiii..... Aaaaaanhhhhhh haki ya mungu tamu"

Hayo maneno siyasahau mpaka leo, na sijui kama yanasahaulika. Ni miaka mingi sana imepita na ingawa kwa sasa huyo mwanamke kaolewa kivyake nami nimeoa kivyangu, lakini hayo maneno yake wakati wa kumla mgongo kwa mara ya kwanza (kwake na kwangu) sito ya sahau na mpaka leo nikiyakumbuka njomba huku huwa ana tweak.

Hahahahaaaahaaaaaaahahaha huyo mamaaa ni kiboko, nimecheka mpaka nataka kujikojolea hahahahaha lol. U make me wanna try! never
 
nimekumbuka mpenzi wangu wa zamni aliniudhi nikanuna mwenyewe tu then hakuniomba msamaha wala nini......nikakaa nikajirudisha kwenye good muds mwenyewe sa akaniuliza eti kilicho sababisha nirudi ni nini yani kila nilivyokuwa nikijifikiri napata uchungu mmh nikajione bora tu niachane mwenzangu kesha kuwa pilipili kichaa hatafunikii.......
 
Back
Top Bottom