Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Baada ya kushindwa kwa sera ya Azimio la Arusha ya Ujenzi wa Vijiji vya Ujamaa vijiji vingi vya ujamaa vilikufa na wananchi wakarudia maisha yao ya jadi. Hii yote inasadikika ni jinsi gani Mwalimu Nyerere alishindwa katika uongozi. Najua wengi hapa mmewahi kupita maeneo mbalimbali ya tanzania je kuna mtu yeyote anayeweza kukumbuka kilichokuwa kijiji cha Ujamaa ambacho baada ya sera ya Azimio kushindwa kilikufa na wananchi kurudia maisha yao ya jadi?
Ninavyovifahamu mimi:
Kijiji cha Ujamaa Ndulungu (Singida)
Kijiji cha Ujamaa Geza Ulole (Dar)
Kijiji cha Ujamaa Litowa (Songea)
Kijiji cha Ujamaa Kagera (Kigoma)
Kijiji cha Ujamaa Matetereka (Songea)
Kijiji cha Ujamaa Buyuni (Dar)
N.k
Ninavyovifahamu mimi:
Kijiji cha Ujamaa Ndulungu (Singida)
Kijiji cha Ujamaa Geza Ulole (Dar)
Kijiji cha Ujamaa Litowa (Songea)
Kijiji cha Ujamaa Kagera (Kigoma)
Kijiji cha Ujamaa Matetereka (Songea)
Kijiji cha Ujamaa Buyuni (Dar)
N.k