Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Wote tunaamini kua vijana ni nguvu kazi kwa taifa ila vijana hawa memberz wa group ya kwenye facebook ya " facebook9tliveshow " Wanatutia madoa vijana wenzao, group hii hawana jipya zaidi ya kuongea ngona na kuweka picha za ngono. wasichana kwa wavulana kufanya ngono ya maneno hadharani bila kificho au kutoa comment mbya kwenye picha za ngono, kiukweli inasikitisha. naaamini hapa hatujengi bali tunabomoa tena kwa mabomu na wala si nyundo. muda wanaoupoteza vijana hawa wangeweza kufanya mengi ya msingi au kuperuzi forum zenye akili kama jf. wanajamvi mnasemaje.