Vijana wenye mafanikio zaidi bongo 2011!

tatizo hao machizi darasa hawana tofauti na wenzao wapopo,wako in same business wanafanya mambo makubwa kwao,wabongo misifa tu,wanapataga mkwanja wa maana hakuna wanchofanya,unamkumbuka mtoto wa ilala bachala sasa hivi yuko holand anabeba boksi,mchizi alitua bongo na mnyamwezi kilo 5 1990's!ikawa ni nyoka na mademu kwa kwenda mbele..
machupa baba yao hapo dizonga!!!!!!chacha tall mzungu wa kino kakojoa aibu!ally moja sijui nae kafia wapi......watoto wa ilala,magomeni na kino aminia sana katika haya mambo!kwa mkoa tanga ndo noma!mtu kaingia mtu katoka!!!nakumbuka enzi zile pashawar milango ipo wazi watu tulikuwa tunashea risk kila baada ya miezi ni kicheko!
 
mtu hana familia/hana ndoa unamwita kafanikiwa?? Huu ni uzuzu!! Kwanza ungetwambia definition yako ya mafanikio..afu ndo tuendelee...
 
machupa baba yao hapo dizonga!!!!!!chacha tall mzungu wa kino kakojoa aibu!ally moja sijui nae kafia wapi......watoto wa ilala,magomeni na kino aminia sana katika haya mambo!kwa mkoa tanga ndo noma!mtu kaingia mtu katoka!!!nakumbuka enzi zile pashawar milango ipo wazi watu tulikuwa tunashea risk kila baada ya miezi ni kicheko!

yap saleh machupa jina kubwa pande ile,jirani yake kasheba pale mozambique nae aliishika ile line,watoto wa kitaa kweli game wameishika kwa muda mrefu na wengi wamefanya mambo ya maana kwao huko tanga,lakini watoto wa kipemba usiwasahau sema mambo huwezi kuyajua cuz sio watu wa mayowe wala huwezi kuwakuta saaana wakichanganya kwenye maskani za mabo hayo mfano pale gogo vivu kariakoo!wao kimya kimya tu ila utaona kila siku wanafungua maduka kariakoo na wengine kama eddy zungu wanaporomosha magorofa pande za kariakoo kila kukicha sio! watu kama Ally single(moja)ndio hao tunaowasema kitambo kwenye game lakini mafanikio sio kiviiiile,kidogo wale machizi wa maskani ile ya pale magomeni nadhani takadir street kina scuba na wanae nimewaaminia,angalau kuna mambo wanafanya yanaonekana japo scuba mwenyewe misifa jazz band lakini katika vijana wa sasa walio juu ukiamuacha mzee mzima kiboko na scuba yumo!
 
mtu hana familia/hana ndoa unamwita kafanikiwa?? Huu ni uzuzu!! Kwanza ungetwambia definition yako ya mafanikio..afu ndo tuendelee...

michael jackson hakua ndoa,wewe pengine unayo ndoa so unataka kutuambia wewe umefanikiwa kuliko yeye kwa kuwa una familia na ndoa?!!!
 
ndioo mwageni list zaidi, mie napendaga sana vitu kama hii. mwanaume pesa bwana, mwenye wivu ajinyongee!! Hongereni wa ukweli hongereni, zis yia, pliz ongezeni bidii zaidi.. Vuna pesa.. kulaga nchi..

kwa hiyo nikikupa pesa unaniachia ziggo?
 
Very Inspiring!!!!! Hasa ya Patrick Haidery sikuinyaka hapo kabla...
 
Mbona mmemuacha Halima Mdee? Halafu mmetumia vigezo gani kuwapa hao watu hizo sifa?
 
nadhani muandaaji wa hii kitu alibase kwenye mafanikio binafsi ya wahusika zaidi sio mchango kwa jamii..ndio unamuona hata mtu kama mnyika hapo,kwani maechangia nini kwa jamii?[/QUOTE]

Nahisi humjui Mnyika vizuri au labda unamaanisha Mnyika mwingine na si huyu John John Mnyika mbunge wa jimbo la ubungo kwa tiketi ya CHADEMA! Mnyika(mb) ninaemjua mimi amechangia kwa kiasi kikubwa kwa jamii licha ya kuwa na muda mfupi bungeni, amekuwa ni mtoa hoja mzuri, mkosoaji/mrekebishaji mzuri wa miswada ya serikali na mara nyingi hoja zake zimekubaliwa na kama umekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa bunge kumbuka wakati wa mjadala wa sera ya manunuzi ya umma jinsi alivyosimama kidete katika kujenga hoja zilizopelekea kubadilishwa kwa vipengere kadhaa vya muswada huo kwa kubana mianya ya rushwa au kutoa adhabu kali, je huo si mchango kwa jamii? au kwa fikra zako unadhani mchango kwa jamii mpaka utoe fedha au bidhaa fulani!? kama unadhani hivyo pole sana na sina jinsi ya kukusaidia.
,
 
nadhani muandaaji wa hii kitu alibase kwenye mafanikio binafsi ya wahusika zaidi sio mchango kwa jamii..ndio unamuona hata mtu kama mnyika hapo,kwani maechangia nini kwa jamii?[/QUOTE]

Nahisi humjui Mnyika vizuri au labda unamaanisha Mnyika mwingine na si huyu John John Mnyika mbunge wa jimbo la ubungo kwa tiketi ya CHADEMA! Mnyika(mb) ninaemjua mimi amechangia kwa kiasi kikubwa kwa jamii licha ya kuwa na muda mfupi bungeni, amekuwa ni mtoa hoja mzuri, mkosoaji/mrekebishaji mzuri wa miswada ya serikali na mara nyingi hoja zake zimekubaliwa na kama umekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa bunge kumbuka wakati wa mjadala wa sera ya manunuzi ya umma jinsi alivyosimama kidete katika kujenga hoja zilizopelekea kubadilishwa kwa vipengere kadhaa vya muswada huo kwa kubana mianya ya rushwa au kutoa adhabu kali, je huo si mchango kwa jamii? au kwa fikra zako unadhani mchango kwa jamii mpaka utoe fedha au bidhaa fulani!? kama unadhani hivyo pole sana na sina jinsi ya kukusaidia.
,

Vipi kuhusu kutuingiza choo cha stendi pale ikulu?
 
Naona nyie hamkumuelewa kabisa mtoa mada wa kwanza lugha ya watu jamani alikuwa na maana ya watu 15 Tanzania ambao hawajaoa lakini wanasifa au wanastahili kuoa kwa kiingereza changu cha darasa la 14 la sayansi. Tanzanian's 15 Most Eligible Bachelors - Eligible maana nyingine ni qualified. Sasa mambo ya mtu kaifanyia nini jamii yanatoka wapi jamani acheni kubishana nje ya mada. Ila mabachela kama hao ni wengi sana Tanzania hao ni wachache anaowajua.

Je kama kuna mashoga kati yao na wenyewe ni Eligible bachoelors? .Kuwa na uwezo wa kifedha ama umaarufu sio kigezo cha kuwa Eligible Bachelor.Huyo aliyeanzisha hii mada kwa blog yake amewapima kwa kigezo gani ? CRAP.
 
wazee wa dunk n die,moja pakistan mwendo afrique de sud mixer brazil wangehusishwa nadhani wakali wa kinondoni na magomeni wangeteka hiyo chart!!!

Tru dat jembe Kino na Migo ndo big deal kwenye hizi issue bila kusahau kitaani kwetu kariakoo pia ni balaa...Taylor Gang or Die
 
tru dat jembe kino na migo ndo big deal kwenye hizi issue bila kusahau kitaani kwetu kariakoo pia ni balaa...taylor gang or die
kariakoo ilikua zamani siku gogo vivu imebaki jina tu watu wanakuja kupiga story kuhadithiana enzi zao maisha ya peshawar upakani jioni wanatawanyika kugombea madala dala,wengi wao nyumba za urithi wameuza sasa wanakaa nje ya mji pale wanakuja kijiweni tu sababu ya mazoea ya kkoo..
 
kariakoo ilikua zamani siku gogo vivu imebaki jina tu watu wanakuja kupiga story kuhadithiana enzi zao maisha ya peshawar upakani jioni wanatawanyika kugombea madala dala,wengi wao nyumba za urithi wameuza sasa wanakaa nje ya mji pale wanakuja kijiweni tu sababu ya mazoea ya kkoo..

Nimekusoma jembe wakali wa donta wengi wametawanyika siku hizi gogo vivu mpaka vilaza nao wanajimix mzaz ila unaniambiaje kuhusu takadir mi nahisi ndo ina taken over...
 
Back
Top Bottom