jamani huyo early........................................
wazee wa dunk n die,moja pakistan mwendo afrique de sud mixer brazil wangehusishwa nadhani wakali wa kinondoni na magomeni wangeteka hiyo chart!!!
wazee wa dunk n die,moja pakistan mwendo afrique de sud mixer brazil wangehusishwa nadhani wakali wa kinondoni na magomeni wangeteka hiyo chart!!!
Mbona naona wote ni wauza sura tu...weka watu wa kazi sio wale wakusubiri mishahara.
Wapi Manji?
Wapi Mo?
Wapi Abubakary Bakharesa
Wapi Tanil Somaia
Wapi Mukesh J MO
Upakani kizamani bab,siku hizi kitu cha musharaf sio kiviiiile,sasa hivi mambo yote kitu cha pele,kwa musharaf hakutokeki..
ayo maisha tuulize sisi masadali..kifo nje nje ata unihaidi nini siludii tn iyo life,ni zaidi risk.
usadali easy otherwise ulikuwa unataka kusema ulikuwa unaenda kama transporter!!!usadali unacheza na goli lako na mzungu anakuwa kakupa ulinzi wewe kazi yako kusukuma tu!.......get rich or die trying!maisha mazuri hayaletwi na CCM au CHADEMA hapa watu wanazinguana tu!pigana wakiume ule shushu
nataka kujua mchango wa ktk taifa????????
kweli niliamua kutaja hayo madocho kwani ndo yanayojulikana na makiza wengi!starehe za fukwe za brazil makamanda wengi wanaamua kupiga kambi na kama mzigo wa kutumwa wanaamua kupiga juu kwa ju watu wana risk wanatimba nao mpaka kwa macho ndogo hawaogopi kitanzi au 100 years behind bars!last week kuna mkali toka south kapata ajali inasemekana madaktari wamemmalizia kumuua!!!usitake kujua katika kiuno alikuwa na wanyamwezi wangapi kajifunga kama mkanda!!!doo la maana hao vigoli uliowataja juu nna hakika hizo pesa wanazisoma hawajawahi kukamata!