Vijana wengi hampendi ualimu

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Vijana waliomaliza f4 mmefeli madai shule hazina walimu ama bora wapo,wewe mbona hutaki ualimu unafikiri watatoka wapi,kila mtu anawaza kwenda bank,sociology,n.k,kijana unatakiwa uangalie soko la ajira na muache mambo ya kuiga,usifate mkumbo,mdogo wangu alikua mbishi sana,kasoma Public admin na ps udsm anafundisha mbezi,angalia chain yenu,huna ndugu anafanya sehemu fulani jua uasugua jinsi kwa kusomea mambo ambayo ajira zake zinapatikana marekani na nauli kweni khaipo,iga ufe,asanteni
 
Mazingira yakiwa bora ya ualimu mbona vijana tutakimbilia tu ,wengi hatupendi kuzilisha familia zetu kwa machale eti kisa
ualimu ,tupiganie serikali iboreshe mazingira ya walimu ili tupate walimu wazuri zaidi
 
Bora nikajishughulishe na kilimo kwanza kuliko kuwa ticha.
 
Abstainee...mheshimiwa umeongelea ualimu na walimu wa nchi gani,Tanzania ama Egypt?
 
Abstainee...mheshimiwa umeongelea ualimu na walimu wa nchi gani,Tanzania ama Egypt?
 
walimu wa Tanzania.me mara ya kwanza nilikua mbishi nikasoma politica science,huwezi amini nimeanza baed.acha fikra za kukariri mtoto wa mkulima wewe
 
walimu wa Tanzania.me mara ya kwanza nilikua mbishi nikasoma politica science,huwezi amini nimeanza baed.acha fikra za kukariri mtoto wa mkulima wewe

sa kama co uzezeta,kwa nin usisome masters tu kuliko kwenda kuanza upya hyo bachelor?
 
Soko la ajira ni dogo sana! Hata viongozi wa Serikali (mf. Makamu wa Raisi,n.k) wanashauri vijana wasome fani zenye uhakika wa kazi. AKILI ZA KUPEWA, CHANGANYA NA ZAKO....
 
Vijana tunapenda ualimu,mfana mwaka huu serikali imetuajiri 23 elfu,hapa rufiji tumekuja 66. Alafu pia,hebu pita mashuleni,haswa ya serikali % kubwa ni vijana.
 
Ni sawa lakini mfano mdogo wangu kasoma political science na hana kazi.kwa hiyo unatakiwa uchague kazi ukiwa na mtu wa kukutafutia kazi,
 
Vijana waliomaliza f4 mmefeli madai shule hazina walimu ama bora wapo,wewe mbona hutaki ualimu unafikiri watatoka wapi,kila mtu anawaza kwenda bank,sociology,n.k,kijana unatakiwa uangalie soko la ajira na muache mambo ya kuiga,usifate mkumbo,mdogo wangu alikua mbishi sana,kasoma Public admin na ps udsm anafundisha mbezi,angalia chain yenu,huna ndugu anafanya sehemu fulani jua uasugua jinsi kwa kusomea mambo ambayo ajira zake zinapatikana marekani na nauli kweni khaipo,iga ufe,asanteni

Asante sana kaka,mi mwenyewe nilishashtukia hlo.Nimeshaanza mchakato wa kuapply diploma ya ualimu na degree pia nafasi zikitoka naomba education programs tu! Mwaka jana nilijifunza,nilichagua mi programmes mingine na loan nikakosa nikabaki mtaani.
 
Mtoa mada amenena ukweli kabisa. Soka la ajira bongo lipo hovyo sana hupati ajira km huna mtu akupigie pande ama rushwa watu wana masters zao wako mitaani zaidi ya miaka na wanafamilia. Hata ajira ya ualimu imeanza kuwa hot cake kwa sasa wengi wanataka huko ila wanaopata ni wachache sana serikali haina pesa ya kuajiri wengi. Wewe soma chochote tu unachokijua wewe ukimaliza ukisota mtaana miaka hata kazi ya ufagizi barabarani utatamani maana ualimu uwezi pata tena. Vijana kuweni makini sana kwa sasa
 
Nikweli kaka mana usisome kitu ambacho ni jina na hakina manufaa na umri unaenda
 
inasikitisha sana kuona kijana anasoma ili aajiriwe. Jengeni utamaduni wa kujiajiri huko maofisini utapata hela ya kupanga nyumba na chakula tu
just imagine mshahara wako ni 600,000/= per month, kwa mwaka total itakuwa ni 7.2m, nyumba ya kupanga 3m, chakula, ada ya mtoto, matumizi mengine.. woooo utajikuta una balance ya 1.2m kwa mwaka mzima, sasa hivi kujenga nyumba ya kawaida ya kama vyumba 3 inacost around 45m. Utafikisha lini 45m kwa kiukusanya 1.2 kila mwaka?

jiajiri, jitume utajenga nyumba
 
Back
Top Bottom