Kuna mbuge anaongea bungeni anadai huko dar vijana wanadai wanasiasa wanawatumia kama condom kisiasa, swali ni kweli? Nawakilisha
Mbunge wa Tarime Nyambaf Nyangwine
Kama ni huyo poti poti wala msipoteze muda wa kumjadili ama kujadili kauli yake. Anasumbuliwa na laana ya wazee wake!!
Mwache ataambiwa akae chini muda si mrefu.........."Nasema kaa chini"
Mkuu fafanua zaidi, vijana wanatumika kama kondom kivipi? Sijaelewa.