VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Chama cha Mapinduzi kimeapa kuwa kitafanya kila kiwezalo kuwanunua vijana ndani na nje ya vyama vya upinzani ili kubaki madarakani. Katika ujumbe mfupi niliopokea leo kama 'Mwana-propaganda Mbobezi' chamani, kila mmoja wetu(sisi ambao tuna ushawishi wa kutosha) ahakikishe kuwa ananunua hata vijana wasomi kumi nchini Tanzania kutoka vyuoni na shuleni. Hii itafanya CCM ionekane ni sehemu iliyosheheni wasomi wengi.
Mkakati huo unaratibiwa na viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi wakioongozwa na Katibu Mkuu Wilson Mukama aliyeubuni. Ujumbe huo pia unaeleza kuwa itakaposhindikana kuwanunua wapya,waliopo wapandikizwe kwenye vyama vya siasa vyenye nguvu ili watwae nafasi za maamuzi ya kukwamisha vyama hivyo.
TAARIFA YA NYONGEZA (Kwenye ujumbe huohuo): Mkutano wa kwanza wa Kamati Ndogo ya Kuratibu Uchaguzi wa Sumbawanga Mjini utafanyika siku ya Jumatano ijayo tarehe 17/10/2012 katika Ukumbi uleule wa Mikutano wa Siku zote kuanzia saa tatu asubuhi.Wajumbe mfike bila kukosa mkiwa na mawazo yenu ya kujenga chama.
Nakala kwa: Mzee Tupatupa (nadhani ujumbe huu utakuwa umeshamfikia). Funguka Kamanda Mzee Tupatupa
Mkakati huo unaratibiwa na viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi wakioongozwa na Katibu Mkuu Wilson Mukama aliyeubuni. Ujumbe huo pia unaeleza kuwa itakaposhindikana kuwanunua wapya,waliopo wapandikizwe kwenye vyama vya siasa vyenye nguvu ili watwae nafasi za maamuzi ya kukwamisha vyama hivyo.
TAARIFA YA NYONGEZA (Kwenye ujumbe huohuo): Mkutano wa kwanza wa Kamati Ndogo ya Kuratibu Uchaguzi wa Sumbawanga Mjini utafanyika siku ya Jumatano ijayo tarehe 17/10/2012 katika Ukumbi uleule wa Mikutano wa Siku zote kuanzia saa tatu asubuhi.Wajumbe mfike bila kukosa mkiwa na mawazo yenu ya kujenga chama.
Nakala kwa: Mzee Tupatupa (nadhani ujumbe huu utakuwa umeshamfikia). Funguka Kamanda Mzee Tupatupa