LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
RFA wanatangaza sasa hivi katika taarifa ya habari kwamba Rais Kikwete amewaambia vijana wateue wawakilishi wao na amekubali kukutana nao na wameeleza hayo na ufisadi na kulala chini. Haya mliozoea kusikiliza habari za 'kweli', subirini redio zenu na magazeti yenu kutoka ile familia ya TBC na Uhuru na RAI (Rostam Aziz International)
Hahahahah
Tunashukuru sana gottee kwa kutuhabarisha. Wawakilishi binafsi hasa huko mikoani ni wa muhimu sana sana. Tafadhali endelea kuwa jicho letu huko uliko. Hata habari za kusikia tu ziletwe tuzichambue, maana hakiharibiki kitu hapa jamvini.
JamiiForums inapata members wapya kila kukicha, takribani watu 9 kwa siku. Ninyi mlioko mikoani ni wa msaada mkubwa sana, hata sijui nisisitize vipi hili. "Mpaka kieleweke", wandugu!
.