RubenM
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 131
- 10
Hii inashangaza,kama itakuwa kweli basi ni ajabu,jamani nipatieni majibu hivi wale washindi wa vodacom soccer academy ambao tuliwapigia kura ktk mwaka wa 2008,yule Mzanzibar & wawili wa mbeya(mmoja akitoka mby mjini & mwingine wilaya ya mbozi-mbeya) wako wapi? na lile shindano lilikuwa amka-lala au linaendelea? NIPENI MAJIBU...