kweli hiyo?......wapige picha upost hapa
Inawezekana mkuu, maana kipindi kile cha Mwembe Chai mkiongozana zaidi ya watatu utakuta ri afande rinawauriza, mbona mko zaidi ya watatu mnaongozana hamuandamani nyie?Sio rahisi kiasi hicho, labda hao vijana wamefanya kosa lingine kama ni kuongea mambo ya siasa tu mtu anakamtwa watakosa sehemu ya kuwaweka maana watakamata wengi sana.