Stanley.
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 660
- 298
nafarijika nikiona hii post.
Nenda kasome mdogo wangu usidanganyike, mabibo ni pazuri sana ili mradi unafahamu nini kimekupeleka. Hata ukikaa main campas kama hujui kilichokupeleka haisaidii. Wenzio tumeishi hapo kwa muda wote wa masomo na tumerudi tena kuendelea na tunaishi hapo hapo.