DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kuna Dada anaitwa Rozemary Mwakitwange anauzoefu wa miaka ishirini kama meneja uajiri [Human Resource Manager] anasema vijana wa Tanzania hawauziki, kwenye sekta binafsi kwa kuwa hawana content yaani hawafanani na maitaji ya soko.Kwa kuwa lugha inayotawala soko ni Kiiingeleza,na kiingeleza cha vijana wetu wetu wa vyuo vikuu vyetu ni cha kuungaunga.Dada anamwaga kuwa jukumu la Serikali ilipaswa kuandaa watu.
Yupo Dk Lweitama
Dk anampongeza dada Roze kwa uchambuzi wake.Dokta anasema atuwekezi kwenye elimu.,anasema Chuo kikuu akitayarishi vijana kwenda kujiajili,anasema lugha ya kutayarisha vijana kwenda kujiajili ni misemo ya benki ya dunia.Anasema siku hizi kuna lugha mpya kuwa UJASILIMALI ambayo anasema lugha hiyo aiendani na mazingira.Chuo kikiuu ni kumfundisha kijana kuwa Mtaalamu au mwelewa.Anasema elimu inayotolewa leo Je inamfanya kijana kuwa MWELEVU?Je elimu inampa nafasi ya kuwa mdadisi kwa maswala ya msingi.
Anasema mfumo wa elimu [Mitala] hautoi nafasi ya kumfanya kijana kuweza kumudu maisha na kukabiliana.
Michael Sabuni
Anasema watoa mitala ya elimu yetu wanahujumu Taifa,kwa kuwa mitala hiyo inatoa watu wasio weza hata kujieleza,pia hawana cofindence,yaani hawajiamini hivyo kushindwa kumudu uwezo wa kukabiliana na maitaji ya soko.[Asema Taifa linazalisha mayai mabovu]
Yupo Dk Lweitama
Dk anampongeza dada Roze kwa uchambuzi wake.Dokta anasema atuwekezi kwenye elimu.,anasema Chuo kikuu akitayarishi vijana kwenda kujiajili,anasema lugha ya kutayarisha vijana kwenda kujiajili ni misemo ya benki ya dunia.Anasema siku hizi kuna lugha mpya kuwa UJASILIMALI ambayo anasema lugha hiyo aiendani na mazingira.Chuo kikiuu ni kumfundisha kijana kuwa Mtaalamu au mwelewa.Anasema elimu inayotolewa leo Je inamfanya kijana kuwa MWELEVU?Je elimu inampa nafasi ya kuwa mdadisi kwa maswala ya msingi.
Anasema mfumo wa elimu [Mitala] hautoi nafasi ya kumfanya kijana kuweza kumudu maisha na kukabiliana.
Michael Sabuni
Anasema watoa mitala ya elimu yetu wanahujumu Taifa,kwa kuwa mitala hiyo inatoa watu wasio weza hata kujieleza,pia hawana cofindence,yaani hawajiamini hivyo kushindwa kumudu uwezo wa kukabiliana na maitaji ya soko.[Asema Taifa linazalisha mayai mabovu]