mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
kiravu kafungia ofisini kwake...................Ushahidi uko wapi?
kiravu kafungia ofisini kwake...................Ushahidi uko wapi?
ha ha ha ha ndoto za mchana hizo,,tutawarundika jela na vijana wa siku hizi walivyo mayai washazoea mkate wa kupakwa siagi chamoto watakiona tunajua wanaowatuma dawa yao ipo jikoniKuna page mpya ya Facebook imeanzishwa inaitwa "President Jakaya M. Kikwete MUST Resign." Less than ten days tangu ianzishwe group hiyo tayari watu 2,800+ wanaunga mkono wazo hili by usiku wa Januari 14, 2011. Facebook hutumiwa zaidi na vijana, wanafunzi wa vyuo na sekondari.
Huyu Rais kweli hapendwi na wananchi wake! Vijana wametoa comments za hasira sana kuhusu Kikwete.
President Jakaya M. Kikwete MUST Resign | Facebook
Kwenye facebook kuna group lingine nalo linaitwa, F'uck Jakaya Kikwete, Rostam Aziz, Edward Lowassa Na Mafisadi Wote | Facebook
yaani nimetokea kulichukia tabasamu lake!
yeah! Atasifika kwa kukuza Demokrasia na kupanua uhuru wa watu kuongea!
mna
ushahidi gani au kwa sababu zipi? Tatizo la mtanzania unasema toka bila sababu. Mnataka tufate mkumbo bila sababu sio toka nasi tuseme toka bila sababu
hongereni vijanaVijana kila mahali tujadili mustakabali wa nchi yetu, tuwabaainishe waliotufikisha hapa yaani kwenye umaskini huu. JK hawezi kukwepa haya; atakuja kukimbia nchi. Tufuatilie kila issue ya ufisadi kwa umakini na kwa kuwa na data halisie .
Tuwajibike kila mahali.
Mimi nilidhani ni hapa JF pekee ambako wengi wanamuona JK ni mpuuzi na disgrace to our country! Kumbe na kwingine watu wanaonyesha masikitiko kwa kuwa na Rais kama yeye!!!
Tiba
I like this:israel: