Vijana wa siku hizi hawajui kutongoza

Hivi jamani mtu unatoka Kariakoo unaenda Magomeni, si utapita Morogoro Road kupitia faya, jangwani unaibukia Magomeni, kisa cha kupita Uhuru ukakutane na Mandela Road, uje mpaka Ubungo ukutane na Moro Road ndio uanze kuja Magomeni kha! Safari ndefu yote hiyo ya nini..kwasababu mwisho wa siku kinachotakiwa hapo ni mzigo..
 
Hivi jamani mtu unatoka Kariakoo unaenda Magomeni, si utapita Morogoro Road kupitia faya, jangwani unaibukia Magomeni, kisa cha kupita Uhuru ukakutane na Mandela Road, uje mpaka Ubungo ukutane na Moro Road ndio uanze kuja Magomeni kha! Safari ndefu yote hiyo ya nini..kwasababu mwisho wa siku kinachotakiwa hapo ni mzigo..

Nikumbushe wewe mara ya mwisho kutongozwa ilikuwaje?
 
siku hizi wanawake tunawanunua,hamna kutongoza

Nasikia na wewe mbolea unaigawa bure siku hizi. Sasa sijui hujui kama ni kitega uchumi hicho....kuna mabasha kibao wanaopenda mbolea. Changamkia dili dogo...
 
wa siku hizi hawana bikra sasa unategemea akatae vipi kuvua nguo, pili wasichana wa kichaga bado wanakua wagumu yaani wanasema sitaki..! Sitaki...! Sitakiii! Hadi unamvua nguo anasema sitaki..!unazama chumvini anaendelea kusema sitakii..!

mh mkuu umenichekesha kweli, nipo naambiwa hizo sitak..sitaki na mtoto wa kichaga.
 
kumbe ndo mana maambukizo ya ukimwi yamepungua..kwan kila mtu anakuwa willingly kufanya malmbo sio kama kipindi yenu ya ujima
 
siku hizi wanawake tunawanunua,hamna kutongoza



Hilo ndo jibu
hamtumii maneno sikuhz mnatumia mpunga

cz nyie wenyewe ili mjione vidume mnaanza na kutoa lunch mara vocha hela ya nauli,saloon n.k

lengo lenyewe hujalisema sasa mm muelewa najua wataka nn
 
Sijui mwaka gani nilikataliwa kiukweli kabisa mi nashangaa kila ukistua mtu huyu kokote tu,kwenye usafiri,semina ndio usiseme, mlimani city yani ni noma asee
 
siku hizi unamwambia mtu,naomba kutangaza nia ya viti maalumu. Akicheka tu, mzigo umeshabeba! Raha kweli kweli.
 
Back
Top Bottom