kila siku wanapost vitu ambavyo havina maana na ambavyo havina tija 'je kaniki hawamjui rangi yake au wanasumbuliwa na njaa?' badala yake wangejadili juu ya kero zinazowasibu wananchi na kusaidia kupatikana haraka kwa majawabu ya matatizo kama vile umeme na mfumko wa bei na kuwashauli viongozi wao wasiwe mizigo.