LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Bandugu watoto vijana na wazee wa mjini hebu tupeni basi maujanja ya mjini.
Mim ni mbishi sana na ubishi wangu huwa siku zote unanigharim sana pindi nitakapo kujua ukweli wa mambo ya mjini.
Kuna mambo na maujanja kazaa nimeshaya nyaka lakini hilinimejitahidi lakini hola.
Kuna huu wizi/utapeli wa kuwauzia watu vipande vya sabuni kama simu.
Hawa jamaa hutumia njia gani mpaka wanafauru kukurubuni au huwa kunakuwa na kiini macho kidogo?
Kuna wale ambao huwa wanakuwa na simu halafu wanashika gazeti,mfuko wa kaki,kofia,kitambaa au kitu chochote cha kuzugia hawa nishayajua maujanja yao.
Kuna hawa wengine huwa wanakuwa hawana kitu mkononi zaidi ya simu tu ni mda gani huwa wanabadilisha na kukupa kipande cha sabuni??
Kwa maana wakikupa uikagua unakuta ni mzigo wa kweli na niwamaana lakini inapofika kwenye malipo chacha hapo ndo penye siri kubwa.
Kama utakomaa utaikagua na kulipa hela wakati ikiwa mkononi hakika atang'aka na kufoka na kutaka umpe simu yake na hera yako atakurudishia lakini ukilemaa tu unaliwa je ni maujanja yapi huyatumia kubadilisha simu na sabuni.Wajanja wa mjini naomba maujuzi kwa hili
Mim ni mbishi sana na ubishi wangu huwa siku zote unanigharim sana pindi nitakapo kujua ukweli wa mambo ya mjini.
Kuna mambo na maujanja kazaa nimeshaya nyaka lakini hilinimejitahidi lakini hola.
Kuna huu wizi/utapeli wa kuwauzia watu vipande vya sabuni kama simu.
Hawa jamaa hutumia njia gani mpaka wanafauru kukurubuni au huwa kunakuwa na kiini macho kidogo?
Kuna wale ambao huwa wanakuwa na simu halafu wanashika gazeti,mfuko wa kaki,kofia,kitambaa au kitu chochote cha kuzugia hawa nishayajua maujanja yao.
Kuna hawa wengine huwa wanakuwa hawana kitu mkononi zaidi ya simu tu ni mda gani huwa wanabadilisha na kukupa kipande cha sabuni??
Kwa maana wakikupa uikagua unakuta ni mzigo wa kweli na niwamaana lakini inapofika kwenye malipo chacha hapo ndo penye siri kubwa.
Kama utakomaa utaikagua na kulipa hela wakati ikiwa mkononi hakika atang'aka na kufoka na kutaka umpe simu yake na hera yako atakurudishia lakini ukilemaa tu unaliwa je ni maujanja yapi huyatumia kubadilisha simu na sabuni.Wajanja wa mjini naomba maujuzi kwa hili