Hii nimeipata kutoka kwa wana bidii blog
--- On Tue, 5/10/10, boniface magessa <magessabm@gmail.com> wrote:
From: boniface magessa <magessabm@gmail.com>
Subject: [wanabidii] PROFESA MUKANDALA AFANYIA INTERVIEW WATU WA KUHESABU KURA HAPA MOSHI!!
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 5 October, 2010, 11:04
Habari wanabidii wenzangu,
Jana mdogo wangu ameitwa kwenye usaili hapa Moshi (YMCA) kwa ajili ya kupata watu wa kuhesabu kura siku ya oktoba 31.Amefanyiwa usaili na profesa Mukandala,makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salaam.Eti ana kampuni ya TEMCO iliyopewa tenda hiyo na NEC ya kutafuta watu wa kuhesabu kura ktk uchaguzi mkuu.nisaidieni jamani hivi Mkandala si ni CCM damu yule!!! nisaidieni nini kinaendelea katika nchi hii!!au aliye na taarifa zaidi aniambie kuhusu hili.iam shocked!
Jamaa alimjibu
In short ni JAKAYA MRISHO KIKWETE ndiye alimpitisha (mteua) Prof. RWEKAZA MUKANDALA kuwa VC wa University of Dar es salaam kama shukurani ya kazi nzuri ya REDET iliyompatia Kikwete Usindi mwaka 2005 na motto wa Hali mpya nguvu mpya na kasi mpya na kuwaacha akina Prof. Kikula chari mbaya.
--- On Tue, 5/10/10, boniface magessa <magessabm@gmail.com> wrote:
From: boniface magessa <magessabm@gmail.com>
Subject: [wanabidii] PROFESA MUKANDALA AFANYIA INTERVIEW WATU WA KUHESABU KURA HAPA MOSHI!!
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 5 October, 2010, 11:04
Habari wanabidii wenzangu,
Jana mdogo wangu ameitwa kwenye usaili hapa Moshi (YMCA) kwa ajili ya kupata watu wa kuhesabu kura siku ya oktoba 31.Amefanyiwa usaili na profesa Mukandala,makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salaam.Eti ana kampuni ya TEMCO iliyopewa tenda hiyo na NEC ya kutafuta watu wa kuhesabu kura ktk uchaguzi mkuu.nisaidieni jamani hivi Mkandala si ni CCM damu yule!!! nisaidieni nini kinaendelea katika nchi hii!!au aliye na taarifa zaidi aniambie kuhusu hili.iam shocked!
Jamaa alimjibu
In short ni JAKAYA MRISHO KIKWETE ndiye alimpitisha (mteua) Prof. RWEKAZA MUKANDALA kuwa VC wa University of Dar es salaam kama shukurani ya kazi nzuri ya REDET iliyompatia Kikwete Usindi mwaka 2005 na motto wa Hali mpya nguvu mpya na kasi mpya na kuwaacha akina Prof. Kikula chari mbaya.