Vijana wa green guard mmh! Hii kali

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
368
155
Kwa sasa mi nipo igunga hapa ambapo vituko tofauti vinatokea,ila tukio lililovuta hisia za watu ni la kijana mmoja kumwagiwa tindikali,ambapo imebainika kuwa vijana wa greenguard chin ya nape ndio watuhumiwa wa tukio hilo,ambapo mmoja wapo alikamatwa na vijana wa chadema na kukutwa na tindikali lita kadhaa,then kazi moja walopewa ni kumwaga tindikali kwa watu ili kuteka hisia zawatu na kutupia mpira kwa chadema!

Mmh inaboa sana,tena sana ,hebu tungoje mengine yatayojiri tutajulishana wakuu
 
Mchezo mchafu, hawataki kutumia brain resource zao kufikiria. Lakini yanamwisho, lets keep on documenting those crazy movement! tutawafunga wasidhani wataishi milele kwa style hizo.
 
Wengoja 2 mi nimeumia sana kwa hili
Mchezo mchafu, hawataki kutumia brain resource zao kufikiria. Lakini yanamwisho, lets keep on documenting those crazy movement! tutawafunga wasidhani wataishi milele kwa style hizo.
<br />
<br />
 
Propaganda ni taaluma na sio kutumia nguvu. Wataalum wa propaganda tz wako watatu tu. Hawa maprofessional. Moja yupo ccm na ameshazee sana, wa pili kahamia TLP na watatu yuko CDM. Wote walisoma Cuba. Kwa hiyo kaingia mlango wa kike.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom