Kabombee we ndiyo umechezewa akili, vinginevyo utoe tafsiri ya uchaguzi ambao lazima Ccm ishike dola.Sanaa hizo,halafu atatokea Maalim sefu atawatuliza.Itaonekana sefu ana nguvu sana,kawatuliza vijana wenye jazba!
Wao wameshaambiwa jini ameshapanda kichwani,karibu atataja jina,maandamano ya kisanii ya nini?Huyu sefu siku wakimgundua kuwa anawachezea akili watamla nyama
Uchaguzi ulishaisha na rais ni Dr shein. mambo mengine ni kutaka kuleta kero zisizo na msingi..maalim Seif atawaambia wawe na subira hadi Umoja wa mataifa utoe shinikizo kwa serikali.ushauri wangu wa bure kwa Ustaadh Seif..aachie ngazi na awapatanishe wana CUF wa bara na visiwani. pia aachane na Ukawa ya Mbowe inamuaibisha sana..najua mpo humu msiotaka kuambiwa tofauti na hayo.mwambieni baba yenu tofauti na hapo manundu ni halali yenu...manake hamna namnaHaya.. Lipumba mtamwelewa tu.. Mchawi wa cuf ni Seif mwenyewe
Sote tunafahamu kuwa, ccm ndio chama pekee Tanzania kinacho zalisha, Lea, hasili, kufadhili na kubariki ufisadi.Chama kinauzwa kwa Fisadi kama chadema
Hahaha mtakoma
Lipumba hoyeeeee!!
Vijana wa Chama cha wananchi CUF wamevamia Makao Makuu yaliyopo eneo la Mtendeni Zanzibar wakitaka kujua hatma ya maamuzi yao ya October 25 mwaka jana ambapo chama hicho kinadai kilishinda uchaguzi kabla ya kufutwa.
Ni kweli wanajielewa ndo maana hadi sasa hawajui kuwa uchaguzi ulishsisha na rais ni Shein..wao bado wanajua rais atatangazwa na maalim seif..kwelu wanajitambuaWazanzibar wanajielewa sio sisi wabara ambao tunaburuzwa wote kimya hata ktk haki zetu za kikatiba