Nimepata taarifa toka kwa mdau aliyeko Tunduma kuwa, kuna ratiba ya Makamu wa Rais kutembelea na kuhutubia mkutano huko Tunduma, sasa jana polisi walipita kwenye vijiwe vyote vyenye bendera za CDM na kuziondoa.
sasa kilichotokea leo vile vijiwe vyote bendera za CDM zimerudi na kama haitoshi zingine zimewekwa karibu na jukwaa atakalohutubia makamu wa rais na wamesema wanasubiri kuona nani wa kwenda kuondoa bendera hizo.
Mwenye taarifa zaidi atujuze wakati naendelea kufuatilia kitakachoendelea.
sasa kilichotokea leo vile vijiwe vyote bendera za CDM zimerudi na kama haitoshi zingine zimewekwa karibu na jukwaa atakalohutubia makamu wa rais na wamesema wanasubiri kuona nani wa kwenda kuondoa bendera hizo.
Mwenye taarifa zaidi atujuze wakati naendelea kufuatilia kitakachoendelea.