Ndugu umeelewa hoja yangu au umekurupuka tu kujibu. Please read between the lines and try to understand the message. Samahani kama sijaelewa comment yako!!!msituletee wabakaji tafadhali!
Ndugu umeelewa hoja yangu au umekurupuka tu kujibu. Please read between the lines and try to understand the message. Samahani kama sijaelewa comment yako!!!msituletee wabakaji tafadhali!
Ebu weka hayo maneno yangu niliyoandika arusi, abari, hamani, humu Jamvini hakuna sehemu yoyote mie nimeandika hivyo ukiweka mie najitoa JF kuanzia leo zaidi ya hapo wewe ni mtu wa mipasho tu...neno siyo na sio kwangu mie sio ndio sahihi...kuna members wengi tu humu JF wanatumia neno sio badala ya siyo kama AshaDii na Ribosome.