Vijana tuwe wabunifu katika ujasiriamali

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,211
22,261
Habari JF,
Leo nimeona nitoe maoni yangu katika hili suala la ujasiriamali nikiwa pia mjasiriamali mdogo ninayezikimbiza ndoto zangu.
Mimi ninaongelea suala la ubunifu linalobebwa na ujasiri katika utekelezaji. Kwa kupitia thread nyingi hapa jukwaani nimegundua wengi wetu sio wabunifu au waoga wa kufanya tunachokiamini au tulichojaliwa na Mungu. Humu thread nyingi ni kuhusu ufugaji wa kuku, samaki, mbuzi, utengenezaji wa sabuni, shampoo na kadhalika. Pia na mambo ya biashara za network kama GNLD na nyinginezo. Mimi ninaamini kuna mambo mengi nje ya hayo ambayo yamekuwa kama fasheni. Niwasihi vijana wenzangu kwani pia ninaamini vijana wengi wana vipaji na uthubutu wa kufanya mambo mengi zaidi. Tusiegemee kwenye mambo machache tutakwama. Sio lazima wote tufuge kuku au kujiunga Forever, rifaro.
 
Habari JF,
Leo nimeona nitoe maoni yangu katika hili suala la ujasiriamali nikiwa pia mjasiriamali mdogo ninayezikimbiza ndoto zangu.
Mimi ninaongelea suala la ubunifu linalobebwa na ujasiri katika utekelezaji. Kwa kupitia thread nyingi hapa jukwaani nimegundua wengi wetu sio wabunifu au waoga wa kufanya tunachokiamini au tulichojaliwa na Mungu. Humu thread nyingi ni kuhusu ufugaji wa kuku, samaki, mbuzi, utengenezaji wa sabuni, shampoo na kadhalika. Pia na mambo ya biashara za network kama GNLD na nyinginezo. Mimi ninaamini kuna mambo mengi nje ya hayo ambayo yamekuwa kama fasheni. Niwasihi vijana wenzangu kwani pia ninaamini vijana wengi wana vipaji na uthubutu wa kufanya mambo mengi zaidi. Tusiegemee kwenye mambo machache tutakwama. Sio lazima wote tufuge kuku au kujiunga Forever, rifaro.
Ungeweka mifano ya biashara zenye ubunifu ingekuwa poa sana
 
Biashara ="Wi-Fi, post: 15314253, member: 53046"]Ungeweka mifano ya biashara zenye ubunifu ingekuwa poa sana[/QUOTE]
Biashara kwa asilimia kubwa zishafanywa muhimu ni kuangalia mapungufu kwenye biashara zilizopo na kuyafanyia kazi. Kwamfano mimi biashara ninayofanya niligundua wateja wengi wanaona usumbufu kuja ofisini kwahiyo nikaamua kuwa nawapelekea waliko. Hiyo mbinu imenisaidia
 
Back
Top Bottom