Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Sisi kama vijana wa Kitanzania tumekuwa tukikabiliwa na Changamoto kadha wa kadhaa kama vile Umri, Kabira, hali ya kindoa (Maritual status), hali duni ya uchumi, mitazamo hasi kuhusu vijana (wrong perceptions), kutokuwapo na imani, Elimu ya kawaida na isiyo na udhaifu, na vikwazo vingine kadha wa kata. LAKINI NI KITU KIMOJA TU AMBACHO KIMEKUWA KIKITUUNGANISHA SOTE KWA PAMOJA, KIMETUDHAMINI NA KUTUFANYA TUSAHAU MACHUNGU YETU, KIMETUJENGA NA KUTUPA MOYO WA KUJIAMINI NA KUTHUBUTU, SI KINGINE BALI NI CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO. Wakati umefika sasa wa kujitokeza na kukisuport chama chetu kipenzi CHADEMA.