Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 337
Vijana wa tanzania bara na umbumbu wa uelewa...!imegunduliwa na tume ya kujipima utawala bora,kuwa vijana wengi watanzania ni mambumbu na hawana uelewa wowote,
moja na kubwa lilowashangaza hadi vijana wasomi wa vyuo vikuu hawana uelewa wowote wanashindwa kutambua na kutofautisha majukumu ya serikali na wananchi!
moja na kubwa lilowashangaza hadi vijana wasomi wa vyuo vikuu hawana uelewa wowote wanashindwa kutambua na kutofautisha majukumu ya serikali na wananchi!