Vijana na ufinyu wa kufikiri.

SIXPLANET

Member
Mar 15, 2011
83
19
Baada ya mh shibuda kutangaza kugombea uraisi 2015, kupitia chadema na kusema Dr slaa awe meneja kampeni wake.
Mwenyekiti wa bavicha bwana heche alijitokeza na kumpinga bwana shibuda kwa madai kwamba anavuruga chama.
Lakini tujiurize je nikosa mtu kutangaza nia yakugombea urais, pia bwana heche katumia msimamo wake kama msimamo wa bavicha, je kauli ya heche ilipokelewaje na wananchi wa maswa na watanzania wote kwa ujumla, na kama wamechukulia ni ubaguzi, maana bwana zito naye alitangaza lakini hakupingwa, bavicha inajengewa picha gani katika jamii ya watanzania.
Pia alipo jitokeza katibu wa bavicha kuweka mambo sawa kuondoa confusion, vijana wengi katika mitandao wamjia juu kwamba yeye ni pandikizi, gamba na afukuzwe.
Binafsi na mpongeza katibu wa bavicha kupinga kauli ya heche kwamba si ya bavicha, maana kuunga mkono kauli ya heche ni kujenga makundi ndani ya bavicha na kuuwa demokrasia ndani ya chadema, kama hawa kumpinga zito basi hatawengine wasipingwe, wacha watu watangaze nia tuwajadiri, tuwapime uwezo wao, wanachama wapige kura apatikane mtu wakukipatia ushindi chama 2015.
Tusibweteke kwamba dr slaa is only candidate for 2015 any thing may hapen, na akashindwa kusimama 2015, tukafanya active decision za kumteuwa mtu 2015 who can not compete. Isiwe zambi mtu kutangaza kugombea.
Kwahiyo tusijadiri kauli ya katibu wa bavicha bali tujadili kauli ya heche je inakijenga chama au inakibomoa, pia bavicha inasimamia maslahi ya wanachadema wote je kauli ya heche inasimamia maslai ya nani? Na wakati shibuda ni mwana chadema. Leo anapingwa shibuda je kesho atapingwa nani? Je kauli hii inatofautiana vipi na ile ya uvccm pale kibaha pwani. Au chadema inawenyewe wengine tunasindikiza tu.
Thanks
 
SIXPLANET hujui unachoandika na inawezekana umepitwa na WAKATI kwa sababu hujui chanzo cha KAULI ya bwana HECHE
 
mi siwaelewi. kwani zitto alipotangaza ilikuwaje? na leo mnashadidia nini sasa! ni uhuru wa kikatiba. kosa la shibuda ni kutangaza kuwa chadema hakiko tayari, kwani wengi tuliwaamini tangu 2010, kwa hiyo 2015 ni swa na kumrusha chura kwenye dimbwi la maji ayapendayo
 
Hayo mambo ni kuyapotezea, kwa wanachadema kwa pamoja tunajipanga kuchukua nchi 2015, ila Shibuda kwa tuliowengi HATUMKUBALI NA HATUMTAKI, hana lolote ni mchumia tumbo tu yule.
 
we bwana mdogo unayejita nani... SIXPLANET na huyo mwenzio kitoto chenzako Sangarara hoja zenu zimefubaa,mnakurupuka na kuanza kuropoka kama huyohuyo shibuda hamna tofauti na vuvuzela wenu Nnauye Jr,kwanza si lazima uanzishe uzi mpya wakati uzi zingine with the same meaning zipo
 
Last edited by a moderator:
Baada ya mh shibuda kutangaza kugombea uraisi 2015, kupitia chadema na kusema Dr slaa awe meneja kampeni wake.
Mwenyekiti wa bavicha bwana heche alijitokeza na kumpinga bwana shibuda kwa madai kwamba anavuruga chama.
Lakini tujiurize je nikosa mtu kutangaza nia yakugombea urais, pia bwana heche katumia msimamo wake kama msimamo wa bavicha, je kauli ya heche ilipokelewaje na wananchi wa maswa na watanzania wote kwa ujumla, na kama wamechukulia ni ubaguzi, maana bwana zito naye alitangaza lakini hakupingwa, bavicha inajengewa picha gani katika jamii ya watanzania.
kufanya hivyo kwenye NEC ya ccm huku ikiwa haijulikani aliitwa na nani huko ili kufanya nini

 
SIXPLANET hujui unachoandika na inawezekana umepitwa na WAKATI kwa sababu hujui chanzo cha KAULI ya bwana HECHE

Nakubaliana na wewe sijui kwanini heche alitoa tamko, basi nipe uwelewa wako kwenye hili ili twende pamoja!
 
Hayo mambo ni kuyapotezea, kwa wanachadema kwa pamoja tunajipanga kuchukua nchi 2015, ila Shibuda kwa tuliowengi HATUMKUBALI NA HATUMTAKI, hana lolote ni mchumia tumbo tu yule.

huwezi kujipanga wakati umoja wa vijana chadema unaendekeza ubaguzi, maana kutangaza nia sio kuwa mgombea mojakwamoja, kinachotokea nikuzuiwa kufikiria mtu mwingine ambaye ataonekana anafaa 2015, my point is tusi relay kwa dr slaa peke yake we required to think on the altenative kama dr hatakuwepo.
 
Huyu jamaa aliyeanzisha hii mada naye ka taahira vile! Mbona mimi sielewi? Sijui huyu bwana ametoka kwenye mataputapu? Hivi aliyetoa ufafanuzi wa kupingana na Heche alikuwa katibu au makamu m/kiti?
 
Baada ya mh shibuda kutangaza kugombea uraisi 2015, kupitia chadema na kusema Dr slaa awe meneja kampeni wake.
Mwenyekiti wa bavicha bwana heche alijitokeza na kumpinga bwana shibuda kwa madai kwamba anavuruga chama.
Lakini tujiurize je nikosa mtu kutangaza nia yakugombea urais, pia bwana heche katumia msimamo wake kama msimamo wa bavicha, je kauli ya heche ilipokelewaje na wananchi wa maswa na watanzania wote kwa ujumla, na kama wamechukulia ni ubaguzi, maana bwana zito naye alitangaza lakini hakupingwa, bavicha inajengewa picha gani katika jamii ya watanzania.
Pia alipo jitokeza katibu wa bavicha kuweka mambo sawa kuondoa confusion, vijana wengi katika mitandao wamjia juu kwamba yeye ni pandikizi, gamba na afukuzwe.
Binafsi na mpongeza katibu wa bavicha kupinga kauli ya heche kwamba si ya bavicha, maana kuunga mkono kauli ya heche ni kujenga makundi ndani ya bavicha na kuuwa demokrasia ndani ya chadema, kama hawa kumpinga zito basi hatawengine wasipingwe, wacha watu watangaze nia tuwajadiri, tuwapime uwezo wao, wanachama wapige kura apatikane mtu wakukipatia ushindi chama 2015.
Tusibweteke kwamba dr slaa is only candidate for 2015 any thing may hapen, na akashindwa kusimama 2015, tukafanya active decision za kumteuwa mtu 2015 who can not compete. Isiwe zambi mtu kutangaza kugombea.
Kwahiyo tusijadiri kauli ya katibu wa bavicha bali tujadili kauli ya heche je inakijenga chama au inakibomoa, pia bavicha inasimamia maslahi ya wanachadema wote je kauli ya heche inasimamia maslai ya nani? Na wakati shibuda ni mwana chadema. Leo anapingwa shibuda je kesho atapingwa nani? Je kauli hii inatofautiana vipi na ile ya uvccm pale kibaha pwani. Au chadema inawenyewe wengine tunasindikiza tu.
Thanks

Hata unachoandika hukjiui, Shibuda alisema atagombea kupitia chadema lakini JK ndio awe meneja wa kampeni yake.
 
Huyu jamaa aliyeanzisha hii mada naye ka taahira vile! Mbona mimi sielewi? Sijui huyu bwana ametoka kwenye mataputapu? Hivi aliyetoa ufafanuzi wa kupingana na Heche alikuwa katibu au makamu m/kiti?
nashuru kwa neno lako zuri lakin sijui kama unaielema main messege ya post yangu. Na sizani kama post yangu lengo lake kuu ni hicho ulicho kiona.
 
Hata unachoandika hukjiui, Shibuda alisema atagombea kupitia chadema lakini JK ndio awe meneja wa kampeni yake.

nafikiri izi habari umezipata kupitia magazeti na vyombo vingine vya habari, chanzo kimoja wapo nilicho tumia kimeandika hivyo, kwasababu mimi nawewe hatakuwepo kabisa, na sizani kama ina sound kwa mtu anaye fikiri jk kuwa meja kampeni.
 
Back
Top Bottom