MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
jamani mbona tuna vijana wegi tu....watoto wengi wa viongozi wetu wapo kwenye nafasi tofauti tofauti za kisiasa..huenda hawa baadae wakaja pia kuwa viongozi wa juu wa nchi..lakini pia tunao vijana wengine pia wanao-onyesha interest na siasa...ngoja tuone 2010 watakaojitokeza,......