nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
misamiati tu, kubaka , kunajisi na kulawiti sio matusi kwenye muktadha huu, ila lengo ni moja, kuudhika na matendo ya Masha na IMMA. Kama hatuwawezi kuwapiga na kuwang'oa madarakani simuwazomee na kuwatukana tu. labda watajua hasira zetu, maana Watanzania wengi mmesusa kupiga kura, na ccm wanahasishana kwelikweli mawazo yako kina masha na wenzake tutawang'oa kirahisi....aaah acha niendelee kulia Componero.Labda ungesema ameibaka (rape/plunder) nchi angeelewa...